Friday, February 15, 2013

NEY WA MITEGO ANUSURIKA KIFO KWENYE AJALI MBAYA YA GARI



Msanii wa muziki wa kizazi kimpya Ney wa mitego amenusurika kifo baada ya kupata ajali mbaya akiwa na gari lake aina ya Alteza akizungumza Ney alisema...  "Ilikua saa tisa na nusu usiku nilikua natokea masaki kuwachukua washkajin zangu ndo nilikua narudi home Lory la mchanga liliingia nyuma ya gari langu pale kwenye mataa ya Maisha Club kwenda moroco na kwa bahati mbaya jamaa akakimbia kwasababu nahisi alidhani ameoua maana gari alienda kuingia kwenye mtaro...
Nashukuru mungu mimi mzima ila mguu tu ndo umeshtuka kidogo"......
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...