Wednesday, February 13, 2013

HII NDIO HISTORIA YA MECHI KATI YA MANCHESTER UNITED NA REAL MADRID NA PIA MAMBO MUHIMU YANAYOIPA MECHI YA LEO MSISIMKO WA KIPEKEE

*Ndani ya miaka 60, timu hizi zimekwishacheza mechi 8 na jumla ya magoli 31 yalipatikana.

Mara ya kwanza kukutana ilikuwa ni mwaka 1957, EUROPEAN CUP Nusu Fainali

 *Mzunguko wa kwanza: April 11, 1957: Real Madrid 3 Manchester United 1

 *Mzunguko wa Pili: April 24, 1957: Manchester United 2 Real Madrid 2:

Kwa mara nyingine tena wakakutana mwaka 1968, EUROPEAN CUP Nusu Fainali

  *Mzunguko wa kwanza ulikuwa ni April 24, 1968: Manchester United 1 Real Madrid 0:

  *Mzunguko wa pili May 15, 1968: Real Madrid 3 Manchester United 3:

Wakali hawa wakaja kukutana tena mwaka 2003, CHAMPIONS LEAGUE hatua ya Robo Fainali.

    *Mzunguko wa kwanza ukapigwa April 4, 2000: Real Madrid 0 Manchester United 0:
            #Mechi hii mpaka sasa ndiyo 'Draw' ya pekee (Isiyokuwa na Magoli) katika historia ya mechi     za wakali hawa.

     *Mzunguko wa pili April 19, 2000: Manchester United 2 Real Madrid 3

SHUGHULI YA LEO 2013 CHAMPIONS LEAGUE Round of 16, Mzunguko wa kwanza...

Estadio Santiago Bernabéu huko Madrid saa 10:45 Usiku

#Je ni nani atafunika zaidi kati ya Cristiano Ronaldo na Robin Van Persie?

#Defense ya timu gani ina kibarua zaidi dhidi ya Van Persie na Wayne Rooney
          ama kwa upande wa pili Ronaldo, Benzema na Di Maria?

#Inafahamika kuwa leo kwa mara ya kwanza Ronaldo anakutana na Timu yake kipenzi aliyoitumikia hapo awali,   Je hii italeta athari yoyote?
Habari kutoka sammisago.com
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...