Friday, February 15, 2013

DIAMOND PLATINUM AMEFIKIA HUKU?!! AU NDIO MGANGA ANAFANYA YAKE!



Star wa Miondoko ya Bongo Fleva Diamond Platinum (Msafi) hivi karibuni inasemekana katika show zake mbili za Zanzibar na Zanzibar imedoda kutokana na mahudhurio mabaya ya raia kwenye show hizo, kwa mujibu wa chanzo chetu kinasema "AUDIENCE YA MWANZA JANA KWENYE SHOW YA DIAMOND ILIKUWA CHA MTOTO………SHOW YA ZANZIBAR ILIFANYIKA TAREHE 22 BWAWANI-PEMBA MA ILIHUDHURIWA NA WATU 50 TUUUUUUUUU-(Rows zilikuwa kama 10 hivi,rows 2 tu za mbele ndizo zilikuwa na watu jumla yake hao 50)……NA KIINGILIO KILIKUWA SHILINGI ELFU 10 KAWAIDA NA VIP SHILINGI 15……….Nini Tatizo hapo?? Mwanza na Zanzibar tukio linalofanana ukilinganisha na ukubwa wa jina la muhusika….." Kilihoji chanzo hicho.
Au ndo yule Mganga ameanza kufanya yake? hahaha jokes ila pengine ni upepo umempitia vibaya kipindi hiki.
Habari kutoka hassbaby.blogspot.com
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...