Monday, February 11, 2013

[FROM BONGO5.COM]NAS NA DAMIAN MARLEY KUPIGA SHOW ARUSHA NA DAR FEB 15-16


Rapper Nas na mtoto wa mwisho wa hayati Bob Marley,Damian Marley wanatarajia kutua nchini tanzania siku chache kwenye ziara iliyopewa jina la Marley-Nas Afria Tour.

Mastaa hao wana album ya pamoja iitwayo "Distant Relatives" ambayo kwa sasa ndio album ya raggae inayouza zaidi katika soko la kimataifa ambapo mpaka sasa imeshauza kopi million 5.

Nchi zingine ambazo Damian Marley na Nas Wataenda nin pamoja na South Africa,Ethiopia,Uganda,Rwanda,Zimbabwe Nigeria na Ghana na watapiga show mbili kwenye kila nchi
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...