Thursday, August 4, 2011

UTAJIRI BILA YA KAZI NI SAWA NA KUTWANGA MAJI KWENYE KINU.


Mama huyu anauza samaki ili ajipatie fedha zitazo kuza mtaji na kufikia kileleni kama walivyivyo wafanya biashara wengine. Hapo wapo kwenye hatua ya kukaangwa, Yupo wilayani Pangani mkoa wa Tanga.



Kondaknta huyu wa hiace au kipanya kama yanvyo julikana magari madogo aina hiyo ya hiace akibeba mlago wa gari yake ulio choka wakati wapo safarini pembeni ni abiria wake aliyekuwa akimsaidia. Hiace hiyo inayofanya safari zake Tabata Kimanga kwenda Ubungo, maisha kupigana hata wamiliki wa vituo vya mafuta walianzia huko ingawa sasa wameweka mgomo na mafuta yao. "anaye tafuta hachoki, akichoka kapata"


Wajuaji wa mambo wanasema "fundi mkweli kinyozi" haya, sijui jamaa anataka panki au kiduku! lakini kwa kinyozi yeye anataka ku-make money.

HIZI NDIO GARI 10 KALI ZENYE KASI DUNIANI PAMOJA NA BEI ZAKE

1. Bugatti Veyron Super Sport: 267 mph, 0-60 in 2.4 secs. Aluminum, Narrow Angle 8 Liter W16 Engine with 1200 hp, base price is $2,400,000. Although the Bugatti Veyron lost the title to SSC Ultimate Aero on March 2007, Bugatti challenge the record in Germany on July 10, 2010 with the new 2010 Super Sport Version and the Veyron once again claims the title of the fastest car in the world at 267 mph. The original Bugatti Veyron has a top speed of 253 mph, priced at $1,700,000 and equipped with 1001 hp.

2. Koenigsegg Agera R: 260 mph, 0-60 in 2.9 secs. 5.0-liter V8 Engine with twin turbo’s, housing 1099 hp. Base price is $1,600,000. If you're into snow sports, the Agera R can be fitted with a Ski Box as well as winter tires, not that I would take one on a ski trip or anything like that. While the Agera R has a massive theoretical top speed, the current tested top speed is 260 mph. Expect this snow car to be the Bugatti's arch enemy for the next 5 years.
3. SSC Ultimate Aero: 257 mph, 0-60 in 2.7 secs. Twin-Turbo V8 Engine with 1183 hp, base price is $654,400. Tested in March 2007 by Guinness World Records, The SSC Ultimate Aero was the fastest car in the world from March 2007 to July 2010. On March 2011, the Koenigsegg Agera R also surpassed it, forcing this American made car to the #3 spot.
SSC Ultimate Aero Red doors open
4. Saleen S7 Twin-Turbo: 248 mph, 0-60 in 2.8 secs. Twin Turbo All Aluminum V8 Engine with 750 hp, base price is $555,000. Smooth and bad-ass. It will make you want to show it off non-stop.
Saleen S7 Twin Turbo dark orange front view
5. Koenigsegg CCX: 245 mph, 0-60 in 3.2 secs. 90 Degree V8 Engine 806 hp, base price is $545,568. Made in Sweden, it is the older brother of the Agera R, only losing to 4 other supercars in the world.
Orange Koenigsegg CCX
6. McLaren F1: 240 mph, 0-60 in 3.2 secs. BMW S70/2 60 Degree V12 Engine with 627 hp, base price is $970,000. The fastest car in the 20th century with doors that looks like bat wings. Maybe Batman needs to order one and paint it black 1997 McLaren F1 on the road black
7. Gumpert Apollo: 224 mph, 0-60 in 3.0 secs, 4.2 liter V8 Engine that houses 650 hp. Base price: $450,000. Gumpert claims that the Apollo was designed such that it could drive upside-down in a tunnel with speeds at 190 mph or above. Of course, no one has tested this yet.
8. Noble M600: 223 mph, 0-60 in 3.7 secs. Twin-turbocharged 4.4-liter V8 Engine with 650 hp. Base price is $330,000. The Noble M600 also happens to be a very cool car. Its inconspicuous design sports a slender and contoured body which does not scream out for attention at every second of the day.
We have a tie for 9th and 10th places:
9. Pagani Zonda Cinque Roadster: 217 mph, 0-60 in 3.4 secs. Twin turbocharged AMG V12 engine that produces 678 hp. Base price is $1,850,000. The Pagani Zonda Cinque Roadster is a limited-edition, with five ever produced. It is the quintessential exotic and exclusive supercar.
9. Ferrari Enzo: 217 mph, 0-60 in 3.4 secs. F140 Aluminum V12 Engine with 660 hp, base price is $670,000. Only 399 were ever produced; the price goes up every time someone crashes.Ferrari Enzo doors open front view
9. Jaguar XJ220: 217 mph, 0-60 in 3.8 secs. Twin Turbo V6 Engine with 542 hp, base price was $650,000. Made in 1992, this car still has what it takes to make the list.
Jaguar XJ220
10. Ascari A10: 215 mph, 0-60 in 2.8 secs. 5.0 litre BMW V8 S62 Engine with 625 hp. Base price: $650,000. The company planned to produce 50 of these supercars at its factory in Banbury, England.
10. Pagani Zonda F: 215 mph, 0-60 in 3.5 secs. Mercedes Benz M180 V12 Engine with 650 hp, base price is $667,321. With a V12 motor, this baby can do much better.pagani zonda f

Tuesday, August 2, 2011

WANAMICHEZO WA TANZANIA WANAOTESA NJE YA ARDHI YAO.

Huyu ni Nizar Khalifan kijana ambaye amzaliwa Juni 21, 1988  katika mkoa wa Mtwara,Tanzania. Ana urefu wa futi 5 na inchi 8 pia ancheza nafasi ya kiungo katika timu yake ya Vancouver Whitecaps FC na jezi namba 16.

Alikotokea;
Nizar alianzana timu yake ya mtaani ambayo ilikuwa ikiitwa West Ham kama ile ya England  ambapo kiponeekana kipaji chake. Mwaka 2005-2007 alijiunga na Mtibwa Sugar ya Morogoro na hapo alicheza mechi 57 na kushinda magoli 16. Safari haikuishia hapo ndipo alipo amua kwenda kutafuta timu nje ya akajiunga na Al Tadamon mwaka 2007 na huko nako aliweza kuifungia timu yake hiyio goli 1 kati ya mechi 18 alizocheza. M waka 2008 Nizar alijiunga na  Tadamon Sour alipoichezea mechi 25 na kushinda magoli 2. Ndipo alipoamua kurudi nyumbani na kujiunga na Moro Unuite ya mkoani Morogoro hapo napo aliichezea Moro  mechi 31 na kupachika goli 7. Huyo ndiye Nizar Khalfan aliyedumu katika timu ya taifa ya Tanzania(Taifa Stars) chini ya aliyekuwa  kocha wa timu hiyo Marcio Maximo. Hakuna atakaye sahau shuti alilopiga kwa umbali takribani mita 36 ambopo Tanzania ilipocheza  na Senegali katika uwanja wa CCM Kirumba Jiji Mwanza pia alipomduaza kipa wa timu hiyo Tony Silva, mpaka mpira unaisha Tanzania 1-1 Senegali. 


Henry Joseph Shindika ndio jina lake kamili ambaya alizaliwa Jiji ni Mwanza 3 novemba, 1985. hivi sasa anakipiga huko Norway kwenye klabu ya Kongsvinger. Anacheza nafasi ya kiungo na anavaa jezi namba 2.

Alikotokea; 
Henry Joseph alianza kucheza Simba SC ambayo maskani yake yapo mjini katika mtaa wa Msimbazi mnamo mwaka 2006-2008, kwa muda mrefu alikuwa kapteni wa timu hiyo  ya Simba. Pia ameichezea timu ya Tiafa mechi zaidi ya 25. 


Danny Mrwanda kijana wa kitanzania ambaye alizaliwa Jijini Arusha, mwaka 1983 April 6 ambaye ana urefu wa futi 6 na inchi 1, anacheza nafasi ya mshambiliaji katika timu yake ya Dong Tam Long An ya Veitnam.

Alikotokea;
Mwaka 2006-2008 Danny alichezea Simba SC baada ya kutokea Arusha. ndipo 2008-2009 alipo jiunga na timu ya Al Tadamon. Danny Mrwanda alirudi Simba msimu wa mwaka 2009-2010. Baada ya hapo alijiunga na klabu yake ya sasa ya huko Veitnam. Pia amechezea timu ya Taifa zaidi ya mechi 24 na kufanikiwa kufunga magoli 9.


Abdi Kassim Babi au ukipenda unaweza muita  Ballack wa Unguja kama Wanzanzibar wanavyopenda kumuita. Alizaliwa 19 Octoba 1984 huko visiwa vya karafuu , Zanzibar. Sasa ni mchezaji wa timu ya Dong Tam long An ya Veitnam.

Alikotokea;
 Babi ametoke visiwani Zanzibar  akajiunga na Yanga ya Dar es Salaam ambayo ina maskani yake mitaa ya Twiga na Jangwani, alisaini kujiunga na timu yake sasa mwaka 2011 kwa mkataba wa miaka miwili. Hakuna atakae bisha Babi ni mmoja kati ya wachezaji wenye mashuti katika kikosi cha timu ya Taifa y Tanzania, hasa alipo piga shuti kali la umbali takribani mita 35 kuelekea langoni mwa kipa wa  Uganda na kujaa wavuni kwenye mechi ya kirafiki katika ufunguzi wa uwanja mpya wa Taifa wa  Dar es Salaam. Mechi iliyoisha kwa  Tanzania kutoka kifua mbele kwa goli moja kwa bila , ama kwa hakika usiku ule tulienda kuangalia shuti la Abdi Kassim Babi kijana kutokaka visiwa vya karafuu, Zanzibar. 



Hashim Thabit Manka ni mcheza kikapu katika ligi ya Marekani maarufu kama NBA alizaliwa mwaka 1987 februari 16 Jiji Dar es Salaam maeneo ya sinza, ni mceza kikapu kwenye timu ya Houston Rockets ya NBA. Ana urefu wa futi 7 na inch 3 na uzito wa kilo 119

Alikotokea;
Alikuwa mwanafunzi wa shule ya Sekondari Makongo kabla ya kwenda kusoma Marekani na kuanza kucheza na mchezo huo wa kikapu ambao alikuwa akicheza tangu alipokuwa huku katika timu yake ya mtaani. Huko ndipo alipopata nafasi katika timu ya chuo na timu za NBA kummezea mate. Huyo ndio Hasheem Thabeet Manka mtoto wa Sinza kwa wajanja.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...