Friday, July 20, 2012

Wasio tambulika ajali ya Boti ya Skagit waanza kuzikwa na serikali





Baadhi ya Maiti zilizookolewa kutoka katika Meli iliozama na kukosa watu wake zikipelekwa kuzikwa na Serikali katika Eneo la Kama lililotayarishwa makusudi kwa ajili hio.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...