Sunday, July 15, 2012

EXCLUSIVE:JAMAA AUZA INI LAKE KWA AJILI YA KUNUNUA iPOD na iPHONE

Mwanafunzi wa kijapani auza ini lake kwa ajili ya kununua ipad na iphone.Jina lake ni Xiao Zheng na ni mwanafunzi katika chuo cha Anhui Province CHINA ameuza ini lake kwa $3400 kwa mtu asie julikana na kununua ipad na iphone.Hospitali ambayo ilihusika na operation wa jamaa huyo walidai kutofahamu chochote juu ya lengo la jamaa huyo kutoa ini lake.Kwahiyo jamaa huyo sasa hivi anamiliki iphone 4 mpya na ipad 2.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...