Mwanafunzi wa kijapani auza ini lake kwa ajili ya kununua ipad na iphone.Jina lake ni Xiao Zheng na ni mwanafunzi katika chuo cha Anhui Province CHINA ameuza ini lake kwa $3400 kwa mtu asie julikana na kununua ipad na iphone.Hospitali ambayo ilihusika na operation wa jamaa huyo walidai kutofahamu chochote juu ya lengo la jamaa huyo kutoa ini lake.Kwahiyo jamaa huyo sasa hivi anamiliki iphone 4 mpya na ipad 2.
Sunday, July 15, 2012
EXCLUSIVE:JAMAA AUZA INI LAKE KWA AJILI YA KUNUNUA iPOD na iPHONE
Posted by
Feel At Home
at
Sunday, July 15, 2012
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook