Thursday, July 19, 2012

TUNAWATAKIA WAISLAMU WOTE DUNIA NZIMA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN!!!!

Leo ni mwanzo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan!!!Tunawatakia waislamu wote dunia nzima Ramadhan njema na mungu awajaalie wamalize salama.
Kwa wale wote wasio waislamu,kipindi hiki cha mwezi wa ramadhani ni muda mzuri wa kujifunza utamaduni wa kiislamu.Hv unajua kuwa muislam ambae amefunga haruhusiwi kula wala kunywa chochote kuanzia asubuhi mpaka litakapozama jua? Basi huo ndio mwezi mtukufu wa ramadhan ambao umeanza leo.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...