Thursday, July 19, 2012

AJALI YA MV SKAGIT;HII NDIO IDADI YA MAITI ZILZOOKOLEWA MPAKA SASA



                                    Waokoaji wakiendelea na shughuli ya uokoaji
                                          Meli ya mv skagit ikionokeana kabla ya ajali

Zoezi la uokoaji katika tukio la kuzama kwa meli ya Mv Skagit linaendelea hadi sasa ambapo tayari maiti 31 zimepatikana,watu walionusurika na 146 na113 bado wanatafutwa.Siku 3 za maombolezo zimetangazwa na Waziri wa nchi ofisi ya waziri sera na uratibu wa bunge,Mh Lukuvi na shughuli za bunge zimehairishwa mpaka kesho kufuati tukio hili
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...