Wednesday, August 8, 2012

WEMA: MIMI NA DIAMOND NI KAMA RIHANNA NA CHRIS BROWN

                                                               Wema Sepetu.
                                                          Nasibu ‘Diamond’ Abdul.
 BAADA ya kubainika kuwa mastaa wa Bongo, Wema Sepetu na Nasibu ‘Diamond’ Abdul wamerudisha uhusiano wao, Wema ameibuka na kuufananisha uhusiano huo na mastaa wa majuu, Chris Brown na Rihanna.
Wema alisema hayo hivi karibuni katika mahojiano yake na Mtandao wa Dar Talk ambapo aliunadi uhusiano wao na kueleza namna unavyofanana na mastaa hao wa mtoni.
“...yaani utadhani Rihanna na Chris Brown vile haya matukio maana juzi nilikuwa Kigoma, nikasikia Rihanna naye ameonekana sehemu na Chris,” alisomeka Wema.


Source: GlobalPublisher
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...