Monday, August 6, 2012

BEYONCE ACHORA SURA YA JAY Z KWENYE KUCHA ZAKE

Mwanadada superster BEYONCE amewasuprise mashabiki wake kufatilia kitendo chake cha kuchora sura ya mume wake ambae pia ni Msanii mkubwa wa hiphop duniani JIGGA MAN.Beonce aliachia picha mtandaoni ambayo inaonyesha mikono yake miwili ambayo kwenye kidole cha katikati cha mkono mmoja amechora picha ya sura ya JAY Z na mkono mwengine amechora picha yake wote wakiwa wamesmile.Kucha zingine zimezungukwa na nakshi za gold na mapambo mengine ambayo kwa pamoja yanatengeneza jina la "B n JZ"
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...