Saturday, August 4, 2012

STRANGE!!!!!! MDOGO WAKE MARK ZUCKERBEG (MMILIKI WA FACEBOOK) ANAFANYA KAZI KATIKA KAMPUNI YA GOOGLE KWA SASA


Habari za kuaminika na kwamba mdogo wake mmiliki wa facebook "Mark zuckerbeg" anaeitwa  Arielle Zuckerberg ameajiliwa na kampuni ya google rasmi.Mdogo wake huyo atafanya kazi kama junior product manager for the social media marketing firm Wildfire, kitengo ambacho google wamekianzisha hivi karibuni.


Pia dada ake Mmiliki huyo wa facebook aitwae Randi kwa sasa ni mtayarishaji (Producer) wa Reality tv show inayokwenda kwa jina la Silicon Valley ambacho kitarushwa na Bravo.Alifanya kazi katika kampuni ya kaka yake (facebook) kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka 2011.


Randi alitweet kuhusiana na ajira mpya ya mdogo wake na kumtania kidogo


"Congrats Wildfire! There are officially now more Zuckerberg family members working for Google than Facebook! #awkward ;)," Alisema Randi
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...