Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ahaj Dk.Ali 
Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakiagana na Viongozi wa 
Mikoa ya Pemba katika Uwanja wa Ndege wa Karume Pemba,baada ya kumaliza Ziara ya kisiwani humo.
   Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa 
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akisalimiana na
 Viongozi na wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba alipowasili katika viwanja
 vya Skuli ya Mkanyageni Pemba katika chakula cha Futari aliyowaandalia 
wananchi na waumini Kijiji cha Mkanyageni katika mwezi Mtukufu wa 
Ramadhan jana. 
 Sheikh Yussuf Abdalla,wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba 
akitoa shukurani kwa niaba ya wananchi wa kijiji hicho kwa Rais wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Moahmed Shein,kwa kuwaandalia Chakula cha Futari,iliyofanyika jana 
katika Viwanja vya Skuli ya Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba.
   Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa 
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) 
akijumuika na wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani,Mkoa wa
 Kusini Pemba,katika chakula cha Futari,aliyowaandalia Wananchi hao 
katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni
 Baadhi ya akina mama wa Kijiji cha Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba 
wakiwa katika chakula cha Futari katika Mwezi mtukufu wa 
Ramadhan,iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la 
Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni Pemba   
 Baadhi ya Wananchi na waumini wa Dini 
ya Kiislamu wa Kijiji cha Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba wakiwa katika 
chakula cha Futari katika Mwezi mtukufu wa Ramadhan,iliyoandaliwa na 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali 
Mohamed Shein,katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni Pemba
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa 
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kushoto) 
akiagana na Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba jana 
baada ya Chakula cha Futari aliyowaandalia katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu-Zanzibar
habari kwa hisani ya hakingowi.com 

 
 









 
 
 
 
