Monday, August 8, 2011

SHEREHE ZA NANE NANE TANZANIA MWAKA 2011

Sherehe hizi zanatumika kuendeleza na kukuza ujuzi wa wafugaji na wakulima nchini.Hili kukuza na kuongeza bidhaa mbalimbali zinazotokana na shughuli hizi kwani asilimia kubwa ya wananchi yanajishughulisha na ufugaji wa ng'ombe,mbuzi,kuku na ulimagi wa mazao mbalimbali kama mahindi,mpunga,alizeti.Siku kuu ya nane nane nchini imefanyika mjini Dodoma.Watu mbalimbali wamefika mji hapa.Wakulima na wafugaji,ofisi za serikali na wadau mbalimbali wamefika kuonesha bidhaa na uduma wanazotowa.Pia wananchi mbalimbali kutoka mikoa ya jirani na wenyeji wameudhuuria.Makamu wa rais wa Tanzania alikuwa mgeni rasmi wa sherehe hizi Dkt Bilal.

0 comments:

Post a Comment

CHANGIA MAWAZO YAKO HAPA

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...