Wednesday, August 10, 2011

Haya ndio Maisha ya Shule za Serikali za Bweni

Hii ni picha ya Ndani ya bweni katika shule ya Sekondari ya Mwaru iliyopo Singida vijijini kweli mwanafunzi kwa hali hii anaweza kuwa Msomi wa kutegemewa na taifa letu na kuwa mwanasayansi tegemeo la nchi yetu tunaomba serikali iwasaidie wanafunzi hawa kwakweli wanaweza kufauli kati ya hawa wa shule za serikali na wale wanaosoma shule St au Private. Mungu ibariki Tanzania.

source--global publisher

0 comments:

Post a Comment

CHANGIA MAWAZO YAKO HAPA

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...