Mida ya asubuhi katika barabara ya Bagamoyo kulitokae ajali iliyohusisha Gari ya abiria aina ya ISUZU na TAXI. Mashuhuda wa ajali hiyo walieleza kuwa chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva wa pikipiki alimaalufu kama bodaboda na dereva wa bajaji. Dereva wa TAXI aliwaishwa hospitali kwa matibabu zaidi.
Friday, June 17, 2011
AJALI! AJALI!
Posted by
Feel At Home
at
Friday, June 17, 2011
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
0 comments:
Post a Comment
CHANGIA MAWAZO YAKO HAPA