Sunday, June 9, 2013

Picha Kadhaa Za Mastaa Kwenye Tuzo Za Kilimanjaro Jana

Izzo Bizness na Quick Rocka
 Izzo Bizness
 Vaness Mdee akiwa na Tuzo ya wimbo bora wa Bongo Pop Aliofanya na Ommy Dimpoz
 Tuzo ya Mtayarishaji Chipukizi wa Mwaka-Mesen Selekta
 Kala Jeremiah Aliandika historia kwa kuchukua tuzo 3 mfululizo na Nyimbo yake ya Dear God.....Tuzo ya wimbo bora wa mwaka,Tuzo ya Mtunzi bora wa mashairi ya HipHop na tuzo ya Msanii bora wa HipHop


 God Zilla,Mabeste na Madee kwa pamoja waliperfom wimbo wa Mtazamo ulioimbwa na Slothang,Proffesor J na Afande Sele
Vanessa Mdee akiwa Haamini kua nyimbo aliyofanya na Ommy Dimpoz Imempa tuzo 2
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...