Saturday, March 2, 2013

TAMBUA MABINGWA WALIOPITA, MPIRA NA JEZI ZA NIKE ZITAKAZO TUMIKA BRAZIL 2014


Hawa ndio mabingwa wa dunia wa mwaka 98,kama utakua na macho makali jamaa aliyebeba kombe ni Zinadine Zidane.Pembeni upande wa kushoto mwa zidane ni Desaily na huyu wa upande wa kulia mwa zidane Rizarazu

  Hii ni jezi itakayotumiwa na Uholanzi au Dutch Men "The Orange"

 Hii ni jezi itakayotumiwa na URENO

Hawa ndio mabingwa wa mwaka 2002,walioshika kombe kushoto Rivaldo,katikati Ronaldo,Kulia ni Gilberto
 Huu ndio mpira wa brazzuga utakaotumiwa kwenye kombe la dunia 2014
 Hii ndio jezi itakayotumiwa na Marekani
Hii ndio jezi atakayotumiwa na Brazil
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...