Friday, March 1, 2013

Pombe Noma: Abakwa Baada ya Kuzidiwa na Pombe

Huyu ni mrembo aliyekuwa amepata mwaliko toka kwa jamaa mmoja ambaye walijuana katika birthdaya ya rafiki yake.....

Inadaiwa kuwa Binti huyu anasifika kwa kuwachuna wanaume wanaoigia katika anga zake na kuwatelekeza.Bahati mbaya msimu huu haukuwa wake baada ya kuwekea madawa ya kulevya katika kinywaji chacke......


Binti hakuweza kuusoma mchezo maana tayari pombe ilikuwa imeshaanza upanda kichwani....Baada ya muda, mrembo alikuwa hoi bin taabani na ndipo wavulana hao walipombeba na kumbaka na kisha kumwacha

Source:Mpekuzi
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...