Tuesday, November 19, 2013
Posted by
Feel At Home
at
Tuesday, November 19, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
Sunday, November 17, 2013
BREAKING NEWS: WAFANYA BIASHARA KARIAKOO WAGOMA KUFUNGUA MADUKA KWA SABABU YA MASHINE ZA TRA
Wafanyabishara ambao wanamiliki maduka maeneo yote ya kariakoo leo asubuhi wameweka mgomo wa pamoja wakutofungua maduka yao wakipinga uamuzi wa TRA kutaka kila duka kuwa na mashine.
Mitaa yote ya Kariakoo, Msimbazi, Uhuru, Lumumba, Aggrey, Mchikichi, Narung'ombe, Tandamti, Congo, kote maduka yamefungwa baada ya kutangaziwa na umoja wa wafanyabiasha.
Wafanyabishara wanapinga bei kubwa ya mashine ambayo ni milioni moja mpaka laki nane
Posted by
Feel At Home
at
Sunday, November 17, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
MATUKIO KADHAA KATIKA BIRTHDAY PARTY YA MTU WANGU WA NGUVU NA BLOGGER MWENZANGU KANOGA MATONDO A.K.A KANOSYTOWN
Posted by
Feel At Home
at
Sunday, November 17, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
Wednesday, July 24, 2013
H-baba: acheni ulimbukeni wa kufuturisha.. Kwanza Unaishi Na Mke Haujamuoa Halaf Unajifanya Unafuturisha....Cheki Hii Video
Posted by
Feel At Home
at
Wednesday, July 24, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
Saturday, July 20, 2013
Friday, July 19, 2013
Wednesday, July 17, 2013
Picha 6 Zinaozoonyesha Magari Yaliyobeba Mabomba Ya Gesi Yakiingia Mkoani Mtwara
Posted by
Feel At Home
at
Wednesday, July 17, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
Thursday, June 27, 2013
Ulinzi wa Obama haujawahi kutokea Afrika
Dar es Salaam. Ulinzi katika ziara ya Obama ni wa hali ya juu 
kuliko ulinzi wa aliyewahi kupewa Rais yeyote wa Marekani kwa safari 
yake ya Afrika mwaka huu.
Tayari jeshi la nchi hiyo limewasili nchini, 
kuweka mambo sawa na kukagua maeneo yote ya karibu na sehemu 
atakazotembelea na kupita wakati wa ziara hiyo. Maaskari na majasusi 
zaidi ya 500 wapo Dar es Salaam kuhakikisha usalama huo na kuweka vifaa 
mbalimbali vya mawasiliano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam.
Licha ya hilo, ziara yake kutakuwa na askari 1,687
 wakataokuja kwa meli maalumu kubwa ya kivita iliyosheheni silaha 
mbalimbali, ikiwamo ndege sita za kivita aina ya AV-8B Harrier na 
helikopta za kivita 23, ambazo zinatarajiwa kupasua anga la Tanzania 
kuimarisha ulinzi.
Meli hiyo ya kisasa aina ya Wasp Class (Uk 1), pia
 itakuwa imebeba meli nyingine zaidi ya tano maalumu kwa kubeba vifaru, 
magari ya deraya, askari na vifaa vingine itatia nanga Bahari ya Hindi 
kuongeza nguvu iwapo lolote litatokea.
Taarifa inaonyesha italazimika kuwapo kwa meli 
tatu za aina hiyo wakati wa ziara yake nchini Senegal, Tanzania na 
Afrika Kusini kwani mwendo wake siyo kasi hivyo kulazimika kutumia zote 
hizo kwa ajili hiyo.
Meli hiyo kubwa imeundwa kuwezesha askari wa 
Marekani kuingia kwa urahisi eneo la vita kwa brigedi nzima, kwani 
wanaweza kutumia aina zote za vita majini, angani na ardhini. Ni meli 
aina hiyo zilizotumika vita vya Marekani na Iraq. Licha ya mitambo ya 
kivita, ina hospitali kubwa yenye uwezo wa kulaza zaidi ya wagonjwa ya 
600.
Habari kutoka gazeti la mwananchi
Habari kutoka gazeti la mwananchi
Membe: Msije Dar wakati wa ziara ya Obama
Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe amewashauri
 watu walioko mikoani kusitisha safari za kuja Dar es Salaam wakati wa 
ziara ya Rais wa Marekani, Barrack Obama kutokana na wingi wa wageni 
katika jiji hilo.
Ugeni huo pamoja na ule wa viongozi kumi na moja 
kutoka nchi mbalimbali duniani watakaohudhuria mkutano wa kimataifa wa 
Smart Partnership utakaofunguliwa kesho na Rais Jakaya Kikwete kwenye 
Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, umesababisha 
kuimarishwa kwa ulinzi katika maeneo mbalimbali hasa katika hoteli za 
kitalii ambazo zimeanza utaratibu wa upekuzi kwa wageni wake.
Akizungumza na katika mahojiano na Redio ya Clouds jana, Membe alisema jiji limefurika kwa wingi wa wageni.
“Hoteli na nyumba za wageni zimefurika wageni na 
magari mengi yamekodiwa. Kwa ujumla, huduma za kijamii zitakuwa shida,” 
alisema.
Rais Obama na mkewe Michelle watawasili nchini 
Jumatatu na tayari wapambe na maofisa usalama kutokana Marekani wameanza
 kuwasili. Mbali ya ujio huo, wake wa marais kutoka nchi 14 za Afrika 
watakaokutana na Laura Bush, mke wa Rais wa zamani wa Marekani, George 
Bush. Pia Michelle atahudhuria mkutano huo utakaofanyika Jumanne na 
Jumatano ijayo.
“Jiji la Dar es Salaam litakuwa na mambo mengi kwa
 hiyo wale wenye kuja kutaka kustarehe wafute safari zao,” alisema na 
kuongeza: “Kama kuna watu ambao hawapo Dar es Salaam na hawana sababu za
 kuja mjini waache tu mpaka wageni watakapoondoka kwa sababu jiji la 
litakuwa limejaa na baadhi ya barabara zitachukuliwa zitumike na wageni 
hao.”
Alisema katika kipindi cha siku tano zijazo, 
baadhi ya barabara za Jiji la Dar es Salaam zitakuwa na shughuli nyingi 
na nyingine zitalazimika kufungwa. Barabara itakayofungwa ni pamoja na 
ile ya Mwai Kibaki na ile ya Bagamoyo itakuwa na shughuli nyingi pia 
wakati Michelle atakapokwenda Jumba la Makumbusho, Jumanne ijayo.
Wasafiri wa mikoani
Wasafiri wa mikoani wataathirika zaidi Jumanne 
ijayo wakati Rais Obama atakapokwenda kutembelea mitambo ya kufua umeme 
ya Kampuni ya Symbion Ubungo.
Kituo hicho kipo Barabara ya Morogoro, ambayo ndiyo inayotumiwa na magari yanayoingia na kutoka mikoani.
Rais Obama atakwenda katika kituo hicho yapata saa
 4.00 asubuhi na kwa kiasi kikubwa itaathiri magari ya usafirishaji wa 
mizigo na abiria yatakayokuwa yanatoka na kuingia Dar es Salaam kabla na
 wakati huo.
Wengine watakaoathirika ni wakazi wa Kimara, Mbezi, Kibamba hadi
 Kiluvya. Athari nyingine ya usafiri itakuwa katikati ya jiji ambako 
Obama na msafara watakuwa na shughuli nyingi na hasa ile ya ufunguzi wa 
barabara karibu na Ikulu na kukutana na wafanyabiashara kwenye Hoteli ya
 Hyatt Regency, Jumatatu ijayo.
Watumiaji wengine wa barabara watakaopata shida ni
 wale wa Barabara ya Bagamoyo hasa pale Rais Obama na mkewe 
watakapokwenda kuweka mashada ya maua kwenye ubalozi wa zamani wa 
Marekani uliopuliwa na mabomu mwaka 1998.
Ulinzi hoteli za kitalii
Mashushushu wa ndani na nje ya nchi wamezingira 
kwenye hoteli kubwa za Dar es Salaam na walionekana katika baadhi ya 
hoteli hizo, wakiwatumia mbwa maalumu kufanya ukaguzi wa chumba hadi 
chumba.
Tofauti na utaratibu uliozoeleka, baadhi ya hoteli
 zenye hadhi ya nyota tano zimeanza kutumia mitambo maalumu ya kompyuta 
kuwafanyia ukaguzi wageni wote wanaoingia.
Wamchongea JK
Mtandao wa Kutetea Waandishi wa Habari Duniani 
(CPJ), umemwandikia barua Rais Obama ukimtaka kujadiliana kwa kina na 
mwenyeji wake Rais Kikwete wakati wa ziara yake nchini kuhusiana na 
vitendo vya kuuawa na kuteswa kwa waandishi wa habari wa Tanzania.
Katika barua hiyo iliyosainiwa na Mtendaji Mkuu wa
 CPJ, Joel Simon na nakala yake kusambazwa kwa viongozi mbalimbali 
akiwemo Rais Kikwete mwenyewe, mtandao huo ulitolea mfano wa kuuawa kwa 
Mwandishi wa Channel 10, Daudi Mwangozi na Issa Ngumba wa Redio Kwizera.
 Pia kupigwa na kuteswa kwa Mhariri Mtendaji wa Habari Corporation, 
Absalom Kibanda.
Akizungumzia mkutano wa Smart Partnership utakaoanza kesho, 
Membe alisema utajadili jinsi ya kutumia sayansi na teknolojia kukuza 
uchumi.
Viongozi watakaohudhuria mkutano huo ni Waziri 
Mkuu wa Malayasia, Najib Razak, Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Uhuru 
Kenyetta (Kenya), Boni Yayi (Benin), Ali Omar Bongo (Gabon), Ikililou 
Dhoinine (Comoro), Faure Gnassingbe (Togo), Ernest Koroma (Sierra 
Leone), Blaise Compaore (Burkina Fasso), Mahinda Rajapaska (Sri Lanka) 
na Mfalme wa Swaziland, Mswati II, ambaye aliwasili jana.
Habari kutoka gazeti la Mananchi
Habari kutoka gazeti la Mananchi
Wednesday, June 26, 2013
Listen & Download New Song-Solo Thang-Kalata 3
Posted by
Feel At Home
at
Wednesday, June 26, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
Nash_MC_akiwaponda_mashabiki_wa_hip_hop_Tanzania
Posted by
Feel At Home
at
Wednesday, June 26, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
Lady_Jaydee_#39;s_Nothing_But_The_Truth_Review
Posted by
Feel At Home
at
Wednesday, June 26, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
Listen & Download New Music-Stopa Rymes ft Joh Makini-Nimesha Vurugwa
Posted by
Feel At Home
at
Wednesday, June 26, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
Listen & Download New Music | AT-Kitumbua
Posted by
Feel At Home
at
Wednesday, June 26, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
New Music | Mwana Fa_AY ft J Martin-Bila Kukunja Goti
Posted by
Feel At Home
at
Wednesday, June 26, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
Tuesday, June 25, 2013
‘Ambulance’ iliyombeba Mzee Madiba iliharibika
Gari hilo la kubebea wagonjwa liliharibika mitambo yake likiwa njiani ambapo lilikaa dakika 40
Afrika Kusini. Rais wa zamani wa 
Afrika Kusini Nelson Mandela maarufu kama Madiba imedaiwa alipata wakati
 mgumu wakati akielekea hospitalini baada ya gari la wagonjwa lililokuwa
 likimsafirisha wiki mbili zilizopita, kuharibika mitambo likiwa njiani 
kwenda hospitalini.
Taarifa za kuharibika kwa gari hilo zilitolewa 
juzi na msemaji wa rais wa Afrika Kusini Mac Maharaj, ambaye 
alidhibitisha kuwa gari hilo lilipata  matatizo na ililazimika  Rais 
huyo wa zamani kuhamishiwa katika gari nyingine.
Hata hivyo Maharaj, alisema tukio hilo halikuwa na
 tishio lolote kwa afya ya mzee  Mandela, kwa sababu aliongozana  na 
madaktari wa kutosha.
Dakika 40
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Marekani CBS  
lilisema kuwa vyanzo kadhaa vilidai kuwa Mandela alilazimika kukaa eneo 
hilo ambapo gari  hilo la wagonjwa liliharibika kwa muda wa dakika 40.
 
Shirika hilo la CBS lilisema kuwa wakati Mandela alipokuwa 
akihamishwa katika  gari nyingine viwango vya joto vilikuwa chini sana.
Mandela alilazwa hospitalini huku hali yake ikiwa 
mbaya kutokana na maambukizi ya mapafu ya mara kwa mara na tangu wakati 
huo alikuwa katika chumba cha wagonjwa mahututi.
Hii ni mara ya tatu kwa Mandela kulazwa hospitalini mwaka huu.
Mandela, aliye na umri wa miaka 94, alilazwa 
hospitalini mnamo Juni 8, baada ya kupata matatizo ya kupumua, ugonjwa 
ambao umekuwa ukimsumbua mara kwa mara.
Akiongea na Shirika la Habari la Enca, Mac Maharaj
 alisema kuwa ‘hakuna tatizo lililotokea’ kwani walikuwa makini, wakati 
wa tukio hilo.
Alipotakiwa kutoa maelezo kwamba ilikuwaje gari la
 kubebea wagonjwa  ilitumike ikiwa  na hitilafu za kimitambo  alisema  
“Hili ni tukio la kawaida. Hakuna anayeweza kutarajia kuwa gari 
lililokuwa likienda vizuri lingeweza kukumbwa na hitilafu za kimitambo.”
Ini na figo
Taarifa za ndani zilisema kwamba  ini na figo za 
rais huyo wa zamani zilikuwa zikifanya kazi kwa asilimia 50. Kiongozi 
huyo vile vile alitarajiwa kufanyiwa upasuaji maalumu  kuziba kidonda 
kilichokuwa kikivunja damu.
Kwa mujibu wa mjukuu wa  Madiba, Ndaba Mandela 
alisema babu yake  alikuwa akiendelea vyema na alikuwa akitarajiwa kuwa 
atatoka hospitalini hivi karibuni.
 “Ni Mungu pekee anayeweza kumchukua…sisi kama familia tutazidi kushukuru na kusherekea maisha yake,”alisema  Ndaba Mandela.
Wakati huohuo mmoja wa wanaharakati wa kupinga 
ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini Dk. Ramphele amezindua chama kipya
 cha kisiasa kutoa changamoto kwa chama tawala cha ANC kwenye uchaguzi 
mkuu wa nchi hiyo hapo mwakani.
Dk. Ramphele aliwaambia wafuasi wake 
waliokusanyika wakati wa uzinduzi wa chama hicho mjini Pretoria kuwa ANC
 haitakiwi kuaminiwa kuinua uchumi wa nchi hiyo.
Chama chake kijulikanacho kama Agang chenye maana 
ya kujenga kimejipanga kupigana na rushwa na kuimarisha sekta ya elimu 
kama malengo  yao makuu.
Dk Ramphele ni mkurugenzi wa zamani wa Benki ya Dunia na ni mke wa zamani wa mpigania uhuru wa Afrika Kusini hayati Steven Biko
Habari kutoka gazeti la mwananchi 
Monday, June 24, 2013
Kitenge Maulid Kitenge atangaza kugombea ubunge jimbo la Ubungo kwa tiketi ya CCM!
Mtangazaji maarufu wa kipindi cha michezo na taarifa ya habari ITV na Radio One, Kitenge Maulid Kitenge kwa kupitia mtandao wa Instagram na Twitter ametangaza kugombea ubunge jimbo la Ubungo kwa tiketi ya CCM.
Kitenge anakuwa miongoni mwa watu maarufu na wasanii waliotangaza nia hiyo kama Soggy Dogg Hunter (CHADEMA, Segerea) na Afande Sele (CHADEMA, Morogoro).
Aidha, kuna tetesi kuwa huenda wasanii MwanaFA (CCM) na Prof Jay (CHADEMA) wakatangaza nia bila kumsahau msanii wa Bongo movie Ray Kigosi.
Nelson Mandela Remains in Critical Condition
Nelson Mandela's condition remains "critical," President Jacob Zuma told reporters at a Monday press conference in Johannesburg. "Doctors are doing everything possible to ensure his well-being and comfort,” he added, according to The New York Times.
The former leader has been hospitalized since June 8 for a recurring lung infection.
Media outlets spotlighted the South African government this past weekend, after CBS News reported on discrepancies regarding Nelson Mandela's health. Several sources alleged that contrary to claims of Mandela's health improving, Mandela's liver and kidneys were functioning at 50 percent, and that he had a procedure to repair a bleeding ulcer and another one to insert a tube.
"We're told he hasn't opened his eyes in days and is unresponsive," CBS News reported.
"We also understand that Mandela family members are discussing just how much medical intervention is enough for an old and very sick man."
In a statement released on Sunday, President Zuma assured the public that Mandela was in "good hands."
"The doctors are doing everything possible to get his condition to improve and are ensuring that Madiba is well looked after and is comfortable," said the statement.
Reports also revealed that the ambulance by which Mandela had been admitted to the hospital two weeks prior had been stalled for 40 minutes, leaving him stranded on the roadside in freezing weather before a second ambulance arrived. The South African government confirmed the vehicle failure, but insisted that Mandela's health had not been compromised.
A number of Mandela's family members have previously addressed Mandela's condition. His wife, Graca Machel, has also expressed gratitude for the public's widespread support and prayers.
The anti-apartheid hero has been heralded for his historic peacemaking and reconciliatory efforts in a post-apartheid South Africa. Prior to becoming the country's first Black president in 1990, Mandela spent 27 years imprisoned for his oppositional, political views. He contracted tuberculosis while being held at the notorious Cape Town prison Robben Island.
Ratiba ziara ya Obama hadharani, kukaa siku mbili
Dar es Salaam. Ikulu ya Marekani na Idara ya 
Habari (Maelezo), wametangaza ratiba ya Rais Barrack Obama atakapozuru 
Tanzania huku ikionyesha kuwa atakaa siku mbili tu, kuanzia Julai Mosi 
na kuondoka kesho yake.
Tanzania itakuwa nchi ya mwisho ya Afrika 
kutembelewa na Obama baada ya Senegal na Afrika Kusini. Mara 
atakapowasili na ndege yake kubwa ya Air Force One, Rais Obama atazindua
 barabara mpya katika upande wa Mashariki wa geti la kuingia Ikulu.
Rais Obama, ambaye atafuatana mkewe Michelle pia 
siku hiyohiyo atazungumza kwa nyakati tofauti na  wafanyabiashara kutoka
 nchi za Afrika na Marekani kwenye Hoteli ya Hyatt Regency, Dar es 
Salaam.
  
“Pia amepanga kuzungumza na maofisa wa Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania,” ilisema taarifa ya Maelezo.
Baada ya shughuli hiyo, Rais Obama atahudhuria 
dhifa ya taifa atakayoandaliwa Ikulu na mwenyeji wake, Rais Jakaya 
Kikwete. Siku itakayofuata ataweka shada la maua kwenye sehemu ulipokuwa
 Ubalozi wa Marekani ikiwa ni kumbukumbu ya watu waliofariki katika 
shambulizi la bomu mwaka 1998. Pia atatembelea mitambo ya kufua umeme ya
 Kampuni ya Symbion na atatoa hotuba akizungumzia mikakati ya Marekani 
ya kulisaidia Bara la Afrika kuzalisha nishati ya umeme.
“Tanzania ni mshirika muhimu wa Marekani,” alisema
 Ofisa wa Ikulu ya Marekani, Ben Rhodes wakati alipozungumza na 
waandishi wa habari mwishoni mwa wiki katika Ikulu ya Marekani kuhusu 
ratiba ya ziara ya Obama barani Afrika.
Pia mke wa Obama atakuwa na ratiba yake. Julai 
Mosi, atapata staftahi na mwenyeji wake, Salma Kikwete katika ofisi za 
Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (Wama), Dar es Salaam.
Pia atatembelea sehemu ubalozi wa zamani wa 
Marekani na baadaye atashuhudia onyesho la utamaduni la Kikundi cha Baba
 wa Watoto, ambacho kinajumuisha watoto wa mitaani wenye umri kuanzia 
miaka mitano hadi 18 kwenye Makumbusho ya Taifa. Julai 2, atahudhuria 
mkutano na wake wa marais wa nchi za Afrika ambao pia utahudhuriwa na 
mke wa Rais wa zamani wa Marekani, George Bush, Laura.
Habari kutoka gazeti la Mwananchi
Habari kutoka gazeti la Mwananchi
Sunday, June 23, 2013
Former President Mandela is critical in hospital: issued by the Presidency
The condition of former President Nelson Mandela, who is still in hospital in Pretoria, has become critical.
President Jacob Zuma, accompanied by ANC Deputy President, Mr Cyril Ramaphosa, visited the former President this evening, 23 June in hospital. They were briefed by the medical team who informed them that the former President's condition had become critical over the past 24 hours.
The President and Mr Ramaphosa also met with Mrs Graca Machel at the hospital and discussed Madiba's condition.
"The doctors are doing everything possible to get his condition to improve and are ensuring that Madiba is well-looked after and is comfortable. He is in good hands,” said President Zuma.
The President and Mr Ramaphosa were assured by the doctors that when the ambulance transporting former President Mandela to hospital on the 8th of June developed engine problems, all care was taken to ensure that his medical condition was not compromised.
"There were seven doctors in the convoy who were in full control of the situation throughout the period. He had expert medical care. The fully equipped military ICU ambulance had a full complement of specialist medical staff including intensive care specialists and ICU nurses. The doctors also dismissed the media reports that Madiba suffered cardiac arrest. There is no truth at all in that report," said President Zuma.
President Zuma has appealed to the nation and the world to pray for Madiba, the family and the medical team that is attending to him during this difficult time.
Enquiries: Mac Maharaj on 079 879 3203 / macmaharaj@icloud.com.
Issued by: The Presidency
Pretoria
Website: www.thepresidency.gov.za

 
  
 










































 
 
 
 
