Saturday, April 28, 2012

TUNDU LISSU MACHOZI PWAA! BAADA YA KUSHINDA KESI YA KUPINGA UBUNGE WAKE

    Mbunge wa singida nashariki (tundu lissu) akilia kwa furaha huku akibembelezwa na mbunge wa viti maalum kataru mkoa wa manyara (rose kamili),Baada ya mahakama kuu kutupia mbali pingamizi la kupinga matokeo yaliyompa ubunge lissu

 Lissu akifutwa machozi na mkewe wakati wakitoka nje ya mahakama mjini singida


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...