Thursday, April 26, 2012

DIAMOND KUKAGUA HELIKOPTA ATAKAYOSHUKA NAYO DAR LIVE


 Diamond akiwa na wasanii wa kundi la Pah One wakielekea uwanjani.

 Diamond akiwa na wasanii wa kundi la Pah One juu ya helkopta.…

Kapteni wa helkopta hiyo, Nasser akisalimiana na Diamond.

Raisi wa wasafi Bongo, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ leo alikuwa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere kukagua helkopta atakayoshuka nayo Jumapili hii ndani ya Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem.
Hbr Picha na Erick Evarist

Chanzo-Global publisher
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...