Sunday, July 24, 2011

KIM NA KRIS KUFUNGA NDOA

                                  

Kim Kardashian and Kris humphrier
 Mwanamitndo kim kardashia anatarajia kufunga ndoa na mpenzi wake kris humphrier ambaye ni mchezaji wa kikapu nchini marekani. Kim na kris wanatarajia kufunga ndoa ya agost 20, mwaka huu. Kardashian ametua jijin los angeles ili kuendelea na shughuli za maandalizi ya harusi yao na humphries. Hata hivyo kardashia alifanya mahojiano mengi na waandishi wa habair jijini new york kabla ya kwenda los angeles. Kardashian alisema ''kwa kweil nimekuwa na ndoto ya kuolewa tangu nikiwa mdogo.

0 comments:

Post a Comment

CHANGIA MAWAZO YAKO HAPA

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...