Mbunge wa singida nashariki (tundu lissu) akilia kwa furaha huku akibembelezwa na mbunge wa viti maalum kataru mkoa wa manyara (rose kamili),Baada ya mahakama kuu kutupia mbali pingamizi la kupinga matokeo yaliyompa ubunge lissu
Lissu akifutwa machozi na mkewe wakati wakitoka nje ya mahakama mjini singida
Lissu akifutwa machozi na mkewe wakati wakitoka nje ya mahakama mjini singida