Thursday, May 31, 2012

MASTAA WASHINDANA KUANIKA MAPAJA YAO

                                                             Aunt Ezekiel.
                                                    Mayasa Mrisho ‘Maya’.
                                                     Jennifer Kyaka ‘Odama’.

Na Imelda Mtema

SURA za mauzo kwenye anga la Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’, Aunt Ezekiel na Mayasa Mrisho ‘Maya’ walifunikana kwa kuvaa nguo zenye kuacha mapaja yao nje hali iliyozua ‘muwashawasha’ kwa wanaume wenye tamaa za mahaba.
Ishu hiyo ilichukua nafasi juzikati kwenye Ukumbi wa Nyumbani Lounge, jijini Dar ambapo mastaa hao walialikwa kusherehekea uzinduzi wa bidhaa mpya ya kinywaji.
“Mh! Jamani hawa wametufanyia makusudi kushindana kuvaa viguo vifupi, hawajui kuwa wanatupa wakati mgumu?” alisikika akihoji mdau mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Dick.
Habari na www.globalpublisher.com
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...