Sunday, January 27, 2013

Waziri Mkuu, Waziri wa Mambo ya Ndani na IGP watua Mtwara kusaka suluhu!

Mda si mrefu uliopita Waziri mkuu Mheshimiwa Mizengo PK Pinda, Waziri wa Mambo ya Ndani Mheshimiwa Emmanuel Nchimbi na IGP Saidi Mwema Wamewasili Mtwara na Sasa wapo Ikulu ndogo wakiendelea na Mazungumzo na wenyeji wao.

Wakati huohuo ndege mbili za Jeshi zimepeleka Askali Polisi na Jeshi huko Mtwara ili kuongeza nguvu ya ulinzi.

Tutaendelea kutoa updates zaidi juu ya hili
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...