Tuesday, April 26, 2011

Tunawatakia watanzania wote sikukuu njema ya muungano

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni hazina kubwa ambayo tumeachiwa na waasisi wa nchi hizi mbili ambao ni hayati baba wa taifa Mwl.Julius Kambarage Nyerere na Marehem Sheikh Aman Abeid Karume.Sisi kama watanzania hatuna budi kuienzi na kuitunza hazina hii hadhimu tuliyonayo.Mwaka huu muungano umetimiza miaka 47 na Maadhimisho ya mwaka huu kitaifa yamefanyika Zanzibar.

1 comments:

Sanga said...

muungano ni mzuri

Post a Comment

CHANGIA MAWAZO YAKO HAPA

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...